BREAKING

Thursday 22 November 2018

MAAJABU YA SERIKALI YA QATAR KUELEKEA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2022.....NCHINI HUMO



Tayari Serikali ya Qatar imepiga hatua kubwa katika ujenzi wa viwanja na miundombinu kadhaa ikiwemo ya usafiri kama treni.

Michuano hiyo ikiwa imebadilishwa katakana na joto, itaanza November 21, 2022 hadi  Desemba 18 ikiwa ni jumla ya siku 28.

Viwanja vinane vya michuano hiyo vino ndani ya mail 21 za jiji kubwa la Doha na hii itawawezesha baadhi ya mashabiki kutazama mechi mbili kwa siku katika viwanja tofauti.











No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube