BREAKING

Wednesday 12 July 2023

WIZARA YA NISHATI YATENGA BILIONI TANO KUCHANGIA UTOAJI ELIMU YA UTUNZAJI MAZINGIRA KULINDA MABWAWA

 Wizara ya Nishati imetenga Sh bilioni tano katika bajeti ya mwaka huu kwa ajili ya kuchangia utoaji elimu ya kutunza mazingira ili kulinda mabwawa yanayozalisha umeme nchini.

Waziri wa Nishati January Makamba amesema hayo katika ziara ya viongozi wa dini kutoka baraza Kuu la waislam Tanzania lililofanya ziara katika mradi ya kufua Umeme,wa Julius Nyerere .




Waziri wa Nishati January Makamba 




No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube