BREAKING
ROSE MHANDO :MSAMA NI BABA KWANGU ACHENI KUNIGOMBISHA NAYE.   UPANDIKIZAJI WA MENO BANDIA KWA NJIA YA KISASA MUHIMBILI MLOGANZILA 45 KUNUFAIKA NA HUDUMA    UTEKAJI WA WATOTO MKUU WA MKOA WA MBEYA JUMA HOMERA AWATAKA WANAFUNZI WA HOLY LAND PRE- & PRIMARY SCHOOL KUKATAA LIFTI   MSAMA ANG'AKA WAIMBAJI WA IN JILI KUPOTOKA MAADILI   DCEA YAFANIKIWA OPERESHENI DAWA ZA KULEVYA YAKAMATA JAHAZI DAWA ZA KULEVYA   NAIBU WAZIRI MKUU AKARIPIA UZEMBE TANESCO   MHE. RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZA NA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING    MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI CHINA..   RAIS SAMIA NCHINI KENYA-ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI   RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA-KENYA    Blogger Tips and Tricks & Blogger Templates

Thursday, April 10, 2025

Wednesday, 17 June 2020

WADAU WATAKIWA KUENDELEA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA KUINUA MICHEZO







WADAU WAMETAKIWA KUENDELEA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA KUINUA MICHEZO  KUWEKA UDHAMINI KWENYE TIMU ZA MTAANI ILI KUIBUA VIPAJI AMBAVYO VITAKUA NA MANUFAA KWA TAIFA 
Kuali hiyo imetolewa katika Mchezo wa Kusisimua uliozikutanisha  timu mbili kati ya Soccer City ya Mabwepande ya Mtaa wa Mji Mpya  dhidi ya timu ya New Kibamba FC Mchezo ambao umedhaminiwa na kampuni ya Msukuma One inayodhalisha na kusambaza Nafaka huku lengo ikiwa kuunga Mkono Serikali ya awamu ya tank kuunga mkono juhudi za kuinua sekta ya Michezo.

Mkurugenzi Mkuu wa Msukuma One Aman Manengero amesema kuwa wataendelea kusaidia jitihada hizo ili kuleta meandeleo zaidi.
Ktika mchezo huo mkali ilishuhudiwa timu ya kibamba FC kukubali kipigo baada ya kuzidiwa kwa mikwaju ya penati dhidi ya timu ya soka city baada ya timu hizo kutoka sare ya 

goli mbili kwa mbili ndani ya dakika tisini huku timu ya soka city ikiibuka na zawadi ya jezi iliyotolewa na mdau huyo.






No comments:

Post a Comment

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube