BREAKING

Tuesday 14 February 2023

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATANGAZA NEEMA SIMBA NA YANGA KIMATAIFA BAO MOJA MILIONI 5.


Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kununua kila goli kwa Sh5 milioni litakalofungwa na Simba na Yanga katika michezo yao ya kimataifa mwishoni mwa wiki hii. Ametibitisha Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa.

Simba itakuwa mwenyeji wa Raja Casablanca Februari 18 mwaka huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika huku Yanga ikiwaalika TP Mazembe Februari 19, 2023, mechi zote zitachezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.

 
Copyright © 2016 Shamakala
Designed by Switch International | SHAMAKALA 360
    Twitter Facebook Google Plus Vimeo Videosmall Flickr YouTube